MASANDUKU YA KUPIGIA KURA YAKIANDALIWA KWAAJILI YA KUWACHAGUA VIONGOZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

MASANDUKU YA KUPIGIA KURA YAKIANDALIWA KWAAJILI YA KUWACHAGUA VIONGOZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA

Photo-0071
 Masanduku Yakiandaliwa Kwa ajili Ya Kupigia Kura Kwa Viongozi Wanaowania Nafasi Mbalimbali katika serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma.
Photo-0072
 Wasimamizi Wa UChaguzi Wakiaanda Masanduku Hayo Leo Asubuhi.
Photo-0073
Ila Kwa Bahati Mbaya Zoezi La Kupiga Kura Halikuweza Kufanyika Kwa Sababu Ya Msiba Uliotokea Chuo Hapa. Mwanafunzi Wa Mwaka Wa Kwanza Aliyekuwa akisoma Shahada ya Kwanza ya jiografia na Utunzaji Wa Mazingira Kufariki Hapo Jana Jioni Baada ya kuishiwa Damu.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages