UKARABATI WA UWANJA WA UHURU UKIENDELEA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

UKARABATI WA UWANJA WA UHURU UKIENDELEA

P4121263

P4121262

P4121261
                                  Mafundi wakiendelea na ubomoaji wa uwanja wa UHURU
P4121260

P4121260
                                        Sehemu ya jukwaa la kijani likiwa lianza kubomolewa
P4121259
Uwanja wa UHURU maarufu kama shamba la bibi umeanza kubomolewa tayari kwa matengenezo ya uwanja huo ambao kwa sasa umesimamishwa kutumika .

Msimamizi wa ujenzi huo XIAG YUZ HANG amesema matengenezo ya uwanja huo yatakamilika NOVEMBER mwaka huu na utakuwa juu na chini hivyo mashabiki wa soka watakaa sehemu mbili na wataondokana na usumbufu wa waliokuwa wanapata awali.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages