MABAKI YA MABOMU YALIPOTUA KWENYE MAKAZI YA WATU NA KUSABABISHA UHARIBIFU MKUBWA NA HATA KUPOTEZA MAISHA YA WATU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

MABAKI YA MABOMU YALIPOTUA KWENYE MAKAZI YA WATU NA KUSABABISHA UHARIBIFU MKUBWA NA HATA KUPOTEZA MAISHA YA WATU

5
 Pichani juu ni moja kati ya kipande cha bomu kilicholipuka kwenye ghala la kuhifadhia silaha za jeshi la wananchi wa Tanzania  maeneo ya gongo la mboto usiku wa kuamkia leo kikiwa kimedondoka kwenye makazi ya watu
22
 Pichani juu ni moja kati ya kipande cha bomu kilicholipuka na kukutwa maeneo ya Tabata Chan'gombe
3
 Hiki ni kipande kingine cha Bomu kilichokutwa Maeneo ya Pugu Kajungweni J
go6
 Kipande kingine cha Bomu kilichodondoka kwenye makazi ya watu 
4
Baadhi ya watu wakiangalia moja ya nyumba zilizoteketezwa na mlipuko wa mabomu kutoka ghala la kuhifadhia silaha za kijeshi maeneo ya gongo la mboto usiku wa kuamkia leo
2
Baadhi ya watoto wakiwa kwenye hema kwenye kambi ya muda kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages