RAISI KIKWETE ATEMBELEA KAMBI YA JESHI ILIYOPO GONGO LA MBOTO LEO NA HOSPITALINI KUWAJULIA HALI MAJERUHI WA MILIPUKO YA MABOMU ILIYOTOKEA USIKU WA KUAMKIA LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

RAISI KIKWETE ATEMBELEA KAMBI YA JESHI ILIYOPO GONGO LA MBOTO LEO NA HOSPITALINI KUWAJULIA HALI MAJERUHI WA MILIPUKO YA MABOMU ILIYOTOKEA USIKU WA KUAMKIA LEO

 Rais Jakaya Kikwete akimlisha chakula mtoto Sarafina Idd (3) Mkazi wa Gongo la Mboto kituo kipya alipowatembelea majeruhi wa Mabomu waliolazwa Hospitali ya manispaa ya Wilaya ya Ilala Jijini Dar es salaam
 akiwafariji na kuwapa pole mtoto Aisha Omary (4) na Mama yake Ester Kilochi wakazi wa Gongo la mboto Moshi bar wakiwa wamelazwa Hospitali ya wilaya ya Ilala Dar es salaam
 Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukagua eneo la tukio, katika kambi ya JWTZ Ukonga yalikolipuka mabomu hayo
Waziri wa Ulinzi Dk. Hussein Mwinyi(Kushoto) akizungumza na Mkuu wa JWTZ,Jenerali Davis Mwamunyange na Mnadhimu wa Jeshi hilo, Abdurahman Shimbo, baada ya  Rais kuondoka eneo la tukio
 Baadhi ua majeruhi wakiwa katika hospitali ya Temeke
 Majeruhi aliyefikishwa hospitali ya Temeke akiwa hoi, akisaidiwa
 Watu wakidandia lori baada ya kukosa usafiri walipokuwa wakikimbia makazi yao
 Rais Jakaya Kikwete akiondoka Gongo la Mboto Muda mfupi baada ya kufanbya ziara.Picha na Mdau  Bashir Nkoromo na Fredy Maro-IKULU

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages