Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Afanya Ziara Maalum katika Mikoa Ya Kusini na Kaskazini Pemba - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Afanya Ziara Maalum katika Mikoa Ya Kusini na Kaskazini Pemba

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakisalimiana na Viongozi mbali mbali,wa Chama na Serikali, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba jana akiwa katika ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na Kaskazini.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana Kaimu Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Dk Salim Ahmed Salim na Viongozi mbali mbali,wa Chama na Serikali, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba jana akiwa katika ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na Kaskazini.Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar
 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages