Waziri
wa Kazi na Ajira Bi. Gaudensia Kabaka akimkabidhi kaimu Mkurugenzi wa
PSPF .Bw.Adam Mayingu tuzo ya kutambua juhudi za PSPF katika kutoa mkopo
wa nyumba kwa wanachama wake wanaokaribia kustaafu wakati wa ufunguzi
rasmi wa maadhimisho ya wiki ya hifadhi ya jamii iliyoanza katika
viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam jana
Wafanyakazi
wa PSPF wakifurahia tuzo waliyoipata baada ya kukabidhiwa na wazirei wa
kazi na Ajira Bi. Gaudensia Kabaka wakati wa ufunguzi rasmi wa
maadhimisho ya wiki ya hifadhi ya jamii iliyoanza katika viwanja vya
Mnazi Mmoja Dar es salaam jana tuzo hiyo ni kwa kutambua juhudi za mfuko
huo katika kutoa mikopo ya nyumba kwa wanachama wake wanaokaribia
kustaafu.
Waziri
wa Kazi na Ajira Bi.. Gaudensia Kabakaakijaza fomu ya uhakiki wa
wastaafu wakati alipotembelea banda la PSPF katika maonesho ya Wiki ya
hifadhi ya Jamii Mnazi Mmoja Dar es salaam jana Kabaka ni mmoja ywapo wa
wastaafu wa PSPF kushoto ni Ofisa wa Fedha Mwandamizi Bw. Victor Luvena
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)