Home
Unlabelled
Waziri Wa Mambo Ya Ndani Nchini Aelezea Mafanikio ya Wizara Yake Kwa Kipindi Cha Miaka 50 Tangu Uhuru
Waziri Wa Mambo Ya Ndani Nchini Aelezea Mafanikio ya Wizara Yake Kwa Kipindi Cha Miaka 50 Tangu Uhuru
Waziri
wa Mambo ya Ndani Nchini Mh Shamsi Vuai Nahodha akizungumza na
Waandishi wa Habari Kuhusu Mafanikio ya Wizara yake katika Kipindi Cha
Miaka 50 Tangu Tanzania ipate Uhuru,ambapo amesema wizara yake
inatekeleza inatekeleza jukumu la Kulinda Usalama wa Raia na Mali zao
Sambamba na Kukabiliana na Changamoto Mbalimbali zinazoikabili zikiwemo
Ucheleweshwaji wa Upelelezi wa Kesi na Upandishwaji wa Vyeo kwa askari
ambapo amesisitiza wanafanyia kazi kwa kuimarisha mafunzo ya Upelelezi
ndani na Nje ya Nchi pamoja na Kuboresha Mazingira ya Kazi na Askari
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua...
Contact Form
About Me
Hello, my name is Josephat Lukaza. I've 12 years in Blogging and An Award Winner for the BEST Political Blog in African Bloggers Awards in 2015 Learn More →
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)