KAMPUNI YA BIA TANZANIA TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL 34.5 KWA VIJIJI 20 IFAKARA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

KAMPUNI YA BIA TANZANIA TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL 34.5 KWA VIJIJI 20 IFAKARA


SH100331
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Robin Goetzsche (kulia) akishuhudia Mwenyekiti wa Bodi ya Mradi Maji Safi kwa Afya Bora Ifakara (MSABI), Dk. Honorathy Urassa akitia saini mkataba wa makubaliano ambapo TBL, imeupatia mradi wa MSABI msaada wa sh. milioni 34.5 za kusaidia awamu ya pili ya mradi huo.Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
SH100327
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni y Bia Tanzania (TBL), Robin Goetzsche (katikati) na Mshauri wa Miradi Maalumu wa kampuni hiyo, Phocus Lasway (kulia), wakitia saini mkataba wa makubaliano na Mradi wa Maji Safi na Afya Bora Ifakara (MSABI),ambapo TBL imeupatia Mradi huo msaada wa sh. milioni 34.5 za kusaidia awamu ya pili ya Mradi huo. Anayeshuhudia hafla hiyo iliyofanyika, Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki ni Mwenyekiti wa Bodi ya MSABI, Dk. Honorothy Urassa.
SH100304
Mhandisi wa Mradi wa Maji Safi na Afya Bora Ifakara (MSABI),Naomi Mg'endo (kulia) akitoa shukrani kwa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Dar es Salaam juzi, ambayo imeupatia mradi huo msaada wa sh. milioni 34.5 za kusaidia awamu ya pili ya mradi huo utakaovinufaisha vijiji 20 na watu wapatao 8000 katika wilaya za Ulanga na Kilombero mkoani Morogoro. Kutoka kushoto ni Meneja Miradi Maalum wa TBL, Emma Oriyo,Mwenyekiti wa Bodi ya MSABI, Dk. Honorathy Urassa, Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin Goetzsche na Mshauri wa Miradi Maalumu wa kampuni hiyo, Phocus Lasway.
SH100342
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni y Bia Tanzania (TBL), Robin Goetzsche (kulia) akimkabidhi Mwenyekiti wa Bodi ya Mradi wa Maji Safi kwa  Afya Bora Ifakara (MSABI), Dk. Honorathy Urassa (kushoto), mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni 34.5 za kusaidia awamu ya pili ya mradi huo. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo yaliyofanyika Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki ni; Mshauri wa Miradi MaaluMU wa TBL, Phocus Lasway (wa pili kulia) na Mhandisi wa MSABI, Naomi Mg'endo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages