RAMSEY KUSHIRIKISHWA KATIKA MUVI MPYA YA KANUMBA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

RAMSEY KUSHIRIKISHWA KATIKA MUVI MPYA YA KANUMBA

Muigizaji wa filamu za Bongo, Steven Kanumba amesema filamu yake  aliyocheza na M-Nigeria Ramsey Nouah  ipo jikoni na inatarajiwa kupakuliwa kwenye sahani la mashabiki wa filamu hapa nchini na nje ya nchi hii, mwezi Julai mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa hotel ya Peacock, jijini Dar es Salaam, Kanumba alisema, Move hilo linalokwenda kwa jina la 'Devil Kingdom'  wamei-ekti hapa nchini na katika move hiyo Kanumba ataitwa  Ambrose Kapalale na M-Nigeria ni  Jerome Kongwa. PIchani, Kanumba akizungumza na leo kwenye hoteli hiyo. Kushoto ni M-Nigeria Ramsey

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages