Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais wa Somalia Sheikh Sharif sheikh Ahmed katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere muda mfupi kabla ya Rais huyo kuondoka nchini baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi ya siku mbili
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na mgeni wake Rais wa Somalia Sheikh Sharif Sheikh Ahmed katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere muda mfupi kabla ya Rais huyo wa Somalia kuondoka nchini baada ya ziara ya kikazi ya siku mbili.Picha na freddy Maro-IKULU
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)