POLISI TEMEKE WAKAMATA WAHALIFU 155 KWA MAKOSA TOFAUTI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

POLISI TEMEKE WAKAMATA WAHALIFU 155 KWA MAKOSA TOFAUTI


Risasi zinazotumika katika Bunduki aina ya Shotgun Rifle zilizotelekezwa katika takataka huko Temeke mwisho. Viafaa vilivyokamatwa muda mfupi baada ya kuibwa katika moja ya nyumba ya mfanyakazi wa Barclays huko maeneo ya Chamanzi jijini Dar es Salaam. n Hili ndilo gari lililokamatwa likifanya uhalifu likiwa na vifaa hivyo, ambalo pia kama unavyoliona likiwa halina hata Document yeyote katika kioo.
 Na Sufiani Mafoto

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages