PASAKA: MAASKOFU WASISITIZA VITA DHIDI YA UFISADI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

PASAKA: MAASKOFU WASISITIZA VITA DHIDI YA UFISADI

 
VIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo nchini wamesisitiza umuhimu wa kulinda amani, kupambana na ufisadi na umakini katika mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya.Walisema hayo jana wakati wa Sikukuu ya Pasaka ikiwa ni kuadhimisha kufufuka kwa Yesu Kristo yaoata miaka 2,000 iliyopita.

Askofu Mtenji: Tubadili mwelekeo wa rushwa, ufisadi
Akihubiri katika Kanisa Kuu la Usharika wa Moshi Mjini, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Ulanga Kilombero, Renard Mtenji aliwataka waumini kusimama kidete kubadili mwelekeo wa rushwa, ufisadi na maovu mengine katika jamii.

“Mambo ya rushwa na ufisadi sasa yanasikika kila kona nchini... wenye pesa wakati wote ndiyo wenye haki na wenye uhakika wa kuishi. Kundi hili lina uwezo mkubwa wa kununua haki…haya si maisha yanayompendeza Mungu,” alisema.
Kwa Habari  Zaidi <<< GONGA HAPA >>>

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages