MKUU WA JESHI LA POLISI TANZANIA IGP SAID MWEMA AHUDHURIA MAZISHI YA ASKARI ALIYEUAWA NA WANANCHI MKOANI TABORA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MKUU WA JESHI LA POLISI TANZANIA IGP SAID MWEMA AHUDHURIA MAZISHI YA ASKARI ALIYEUAWA NA WANANCHI MKOANI TABORA


  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali wa Polisi Said Mwema akitoa heshima ya mwisho wakati wa mazishi ya Askari namba E.9530 D/C Joseph aliyeuwawa na wananchi Aprili 20, mwaka huu katika Kata ya Mwakashahala, wilayani Nzega, Tabora.Anayefuata ni Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Joyce Mgana.
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Said Mwema akiweka mshumaa katika kaburi la Askari aliyeuwawa kwa kupigwa na wananchi katika Kata ya Mwakashahala, wilayani Nzega, Tabora. Mazishi hayo yalifanyika jana katika kijiji cha Manda Kerenge, wilayani Nkasi, Rukwa.Picha na Baraka Amiri-Jeshi La Polisi   

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages