MAKAMU WA RAIS DK GHARIB BILAL ASHIRIKI MAZISHI YA KATIBU MKUU WA USTAWI WA JAMII WA ZANZIBAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAKAMU WA RAIS DK GHARIB BILAL ASHIRIKI MAZISHI YA KATIBU MKUU WA USTAWI WA JAMII WA ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiweka udongo ndani ya kaburi wakati wa Mazishi ya aliyekuwa katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ustawi wa Jamii Maendeleo ya Wanawake na Watoto Zanzibar Marehemu Rahma Mshangama, aliyefariki Dunia hafla juzi mchana na kuzikwa jana kwenye Makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar. Picha na Amour Nasor-Ofisi ya makamu wa Rais
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Gharib Bilal na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, (katikati), wakiwa kwenye Mazishi hayo jana.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimfariji Bibi Mwanajuma, Mama wa aliyekuwa katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ustawi wa Jamii Wanawake na Watoto Zanzibar, Marehemu Rahma Mshangama.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages