HUKUMU YA KINA MARANDA YAHAIRISHWA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

HUKUMU YA KINA MARANDA YAHAIRISHWA


 
Maranda akisubiri kupanda kizimbani.
HUKUMU ya kesi ya fedha za EPA iliyokuwa ikimkabili mfanyabiashara Shaban Maranda na wenzake iliyotarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam imesogezwa mpaka Mei 23 mwaka huu.

Hukumu hiyo iliahirishwa na hakimu Mustafa Siami kwa sababu mahakimu wa jopo lililotakiwa kutoa hukumu walikuwa safarini.

 
Mfanyabishara maarufu Devendra Patel a.k.a Jitu Patel ambaye naye anakabiliwa na kesi ya ufisadi (EPA) akitabasamu mahakamani hapo.
 
Mawakili wa washitakiwa Mabere Marando (kushoto) na Deus Tadayo wakijiandaa kuwaokoa washitakiwa.
 
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Benny Manyanda,  aliyeendesha kesi hiyo.
 
Mapaparazi wa vyombo mbalimbali ‘wakimfotoa’ Maranda baada kesi hiyo kuahirishwa.
PICHA: RICHARD BUKOS /GPL 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages