Jeshi i la polisi limetoa msaada mkubwa kwenye maandamano haya ya Fiesta Soka Bonanza katika suala zima la usalama barabarani,kama umuonavyo askari huyu wa usalama barabarani akitoa eskoti kwenye maandamano hayo mapema leo asubuhi jijini Mwanza.
Mmoja wa wafanyabiashara akiwa amesimama barabarani akishangaa maandamano ya Fiesta Soka Bananza yakipita barabarani kutoka uwanja wa Nyamagana na kuelekea uwanja wa CCM-Kirumba.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)