EAST COAST OIL AND FATS LTD WACHANGIA DAMU SALAMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

EAST COAST OIL AND FATS LTD WACHANGIA DAMU SALAMA


Meneja Mkuu wa Kiwanda  cha East Coast Oils and Fats Ltd. Bw. Vekant  Police akichangia mpango wa damu salama

Wafanyakazi  wa kiwanda cha East Coast Oil  and Fats Ltm wakiendelea na zoezi la uchangiaji  damu.                    
Uongozi  pamoja na wa Wafanyakazi wa  Kiwanda cha East Coast Oils and Fats Ltd,  kinachotengeneza Mafuta na Sabuni ambacho ni moja ya makampuni ya Mohammed  Enterprises (MeTL) leo wamejitolea kuchangia damu ikiwa ni kuitikia wito wa kuchangai damu salama kutokana  na kupungua kwa akiba ya damu katika benki za damu nchini  Tanzania.

Zoezi  hilo limefanyika leo katika Kiwanda hicho kilichopo Kurasini jijini Dar es  Salaam.
Kwa Hisani Ya Mjengwa

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages