YANGA SIMBA NGOMA DROO UWANJA WA TAIFA DAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

YANGA SIMBA NGOMA DROO UWANJA WA TAIFA DAR

Wachezaji Wa Simba Wakimzonga Mwamuzi Baada ya Mchezaji Wa Simba Kumchezea Vibaya Mchezaji Wa Yanga na Kusababisha Yanga Kupewa Penati.

Kipa Wa Simba Juma Kaseja akiruka Kulia na Mpira kupita kushoto wakati mchezaji wa yanga akipiga penati baada ya mchezaji wa yanga kuchezewa vibaya.
Kipa Wa Simba Juma Kaseja Akiteta Na Mwamuzi
 
Baadhi Ya Mashabiki Wa Yanga Wakiwa Uwanjani Jioni Hii.
Hapo Juu Ni Mashabiki wa Simba Sport klabu Wakiwa Uwanjani Kufuatilia Kwa Makini 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages