WAKAZI WA DAR WAJITOKEZA KUPIMA FIGO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WAKAZI WA DAR WAJITOKEZA KUPIMA FIGO


Bango lenye ujumbe wa Siku ya Afya ya Figo Duniani likiwa sehemu ya kuingilia viwanja hivyo.
WAKAZI wa jijini Dar es Salaam jana walijitokeza katika Viwanja vya Mnazi Mmoja  kupima figo zao katika kuadhimisha Siku ya Afya ya Figo Duniani ambayo kilele chake ni leo.

Sehemu ya wakazi wa jiji waliojitokeza kupima afya zao wakisubiri maelekezo sehemu ya mapokezi.
Baadhi ya waliojitokeza kupima afya zao wakijipumzisha wakati wakisubiri majibu ya afya zao.


PICHA: RICHARD BUKOS / GPL

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages