MABALOZI WA IRELAND NA CUBA WAMTEMBELEA DK SHEIN - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MABALOZI WA IRELAND NA CUBA WAMTEMBELEA DK SHEIN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Ireland nchini Bw. Loccam Fullam alipofika Ikulu jana kuonana na Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimsindikiza  Balozi wa Ireland nchini Bw. Loccam Fullam alipofika Ikulu jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Cuba nchini Bw. Emesto Gomez alipofika Ikulu jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Cuba nchini Bw. Emesto Gomez alipofika Ikulu jana kuonana na Rais.
Picha na Ramadhan Othman-Ikulu, Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages