ALLASSANE OUATTARA AKIWASILI... - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ALLASSANE OUATTARA AKIWASILI...


 
Mheshimiwa Allassane Ouattara akiwasili katika ukumbi wa mikutano uliopo katika makao makuu ya umoja wa Afrika jijini Addis Ababa Ethiopia kuhudhuria mkutano maalumu wa Umoja wa Afrika kuhusu suluhu ya mgogoro wa kisiasa wa Ivory Coast. Hata hivyo hasimu wake kisiasa Laurent Gbagbo hakuja jijini Addis.
Picha na Freddy Maro-Ikulu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages