VODAFONE YAKABIDHI SH MIL 58 KWA WAATHIRIKA WA MABOMU YA GONGO LA MBOTO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

VODAFONE YAKABIDHI SH MIL 58 KWA WAATHIRIKA WA MABOMU YA GONGO LA MBOTO


 Mtendaji Mkuu wa masoko ya Afrika,na Afrika mashariki ya kati wa Vodafone group Foundation Nick Read(kushoto) akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 58 Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dares Salaam Said Meck Sadiq kwa niaba ya waathirika wa janga la mabomu ya Gongo la mboto,wa pili toka kushoto Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Dietlof Mare,Mkurugenzi wa mahusiano Mwamvita Makamba,mwisho kulia Meya wa manispa  ya ilala  Jerry Silaa
Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dares Salaam Said Meck Sadiq akiwafafanulia jambo Mtendaji Mkuu wa masoko ya Afrika,na Afrika mashariki ya kati wa Vodafone group Foundation Nick Read,Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare mara baada ya kukabidhiwa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 58 kwa niaba ya wakazi wa Gongo la mboto walioathirika kwa janga la mabomu.
  Meya wa manispa  ya ilala  Jerry Silaa akijadiliana jambo na Mtendaji Mkuu wa masoko ya Afrika,na Afrika mashariki ya kati wa Vodafone group Foundation Nick Read mara baada ya kukabidhi mfano  wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 58 kwa Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dares Salaam Said Meck Sadiq kwa niaba ya waathirika wa janga la mabomu ya Gongo la mboto.
Mkurugenzi wa mahusiano wa Vodacom Mwamvita Makamba akiambatana na  Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom watatu toka mwanzo Dietlof Mare wakitembelea makazi ya wakazi wa Gongo la mboto walipoenda  kukabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 58 kwa Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dares Salaam Said Meck Sadiq kwa niaba ya waathirika wa janga la mabomu ya Gongo la mboto.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages