Mkurugenzi wa Manispaa ya Unguja Maalim Rashid Ali Juma alipotembelewa na Makamu wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal Hospitali ya Aga Ghan ambapo amelazwa akiendelea na matibabu baada ya kujeruhiwa na watu wasiojulikana waliomrushia tindi kali usoni kutokana na sakata la kuhamishwa kwa nguvu wafanya biashara ndogo ndogo eneo la Darajani.Picha na Amour Nassor -Ofisi ya Makamu wa Rais
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)