Na Mwandishi Wetu
Wasanii wa muziki Bongo, Nasib Abdul ‘Diamond’ na Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ (pichani) wameungana na Watanzania wenzao katika kuombeleza vifo vya milipuko ya mabomu, Gongo la Mboto, Dar es Salaam kwa kutunga wimbo walioupa jina la kitongoji hicho.
Akichonga na Ijumaa Wikienda, Mjomba Mpoto alisema ‘singo’ hiyo inayoitwa Gongo la Mboto imeanza kupigwa kwenye vituo mbalimbali vya redio vya jijini Dar tangu juzi Jumamosi.
Wasanii wa muziki Bongo, Nasib Abdul ‘Diamond’ na Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ (pichani) wameungana na Watanzania wenzao katika kuombeleza vifo vya milipuko ya mabomu, Gongo la Mboto, Dar es Salaam kwa kutunga wimbo walioupa jina la kitongoji hicho.
Akichonga na Ijumaa Wikienda, Mjomba Mpoto alisema ‘singo’ hiyo inayoitwa Gongo la Mboto imeanza kupigwa kwenye vituo mbalimbali vya redio vya jijini Dar tangu juzi Jumamosi.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)