Mke Wa Makamu Wa Raisi Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, Mama Asha Bilal Alipotembelea Hospitali Ya Amana jana Kuwapa Pole wagonjwa waliolazwa ili kupata matibabu baada ya kujeruhiwa na milipuko ya mabomu uliotokea juzi katika ghala namba 5 la kuifadhia silaha la kambi ya jeshi la wananchi wa Tanzania iliyopo Gongo La Mboto
-
Jamani hawa Viongozi wanaenda tu kuwatembelea na baada ya hapo hawawakumbuki na wala hawakumbuki kama watu hao wamepoteza makazi na hata ndugu,jamaa na rafiki zao..waache unafiki
ReplyDelete