Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akipokea ripoti ya kutoka kwa kiongozi wa ujumbe wa Mabalozi wa Nchi za SADC waliopo Tanzania,Balozi wa Tanzania nchini Congo,Juma Alfani Mpango,alipokuwa na mazungumzo na Mabalozi hao jana,Ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na kiongozi wa ujumbe wa Mabalozi wa Nchi za SADC waliopo Tanzania,Balozi wa Tanzania nchini Congo, Juma Alfani Mpango,walipofika Ikulu kuonana na Rais jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa nchi za SADC waliopo Tanzania,walipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana, kwa mazungumzo na Rais.Picha na Ramadhani Othman IKULU-Zanzibar
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)