WAJUMBE wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, wakikagua mitambo ya umeme ya Dowans, Ubungo,Dar es Salaam leo
MKURUGENZI wa Fedha wa Kampuni ya Dowans,Stanley Munai(kulia)akizungumza na waandishi wa habari, waliofuatana na kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, leo, kwenye mitambo ya kampuni hiyo, Ubungo, Dar es Salaam.Picha zote na Mdau Bashir Nkromo
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)