

Waliofunga upande wa Uganda ni Issack Isinde, Dan Walusimbi, Emmanuel Okwi na Andy Mwesigwa
Kilimanjaro Stars waliofunga ni Nsajigwa Shadrack, Stephano Mwasika, Shaaban Nditi, Salum Machaku na Erasto Nyoni.
Nahodha wa Kilimanjaro Stars,Shadrack Nsajigwa (Fusso) akimfariji Golikipa wa Uganda mara baada ya kufungwa penati zote na kuipa ushindi Kilimanjaro Stars.
Kipa wa Kilimanjaro Stars,Juma Kaseja akipangua moja ya penati zilizopigwa na wapinzani wao Uganda.
Kipa wa Uganda,Odongkala Robert akishika kichwa na kujilaumu mara baada ya kufungwa penati ya mwisho na kuipatia nafasi timu ya Kilimanjaro kuitinga fainali kwa madaha yote.
Benchi la Kilimanjaro Stars.
Benchi la Uganda ‘ The Craners’.
Nahodha wa timu na Kilimanjaro,Shadrack Nsajigwa akijaribu kumtoka beki wa Uganda,Walusimbi Godfrey katika mtanange uliopigwa leo ndani ya Uwanja wa Taifa,jijini Dar.Kilimanjaro Stars imeshindwa kwa penati bao 5-4.
Mrisho Ngassa wa Kilimanjaro Stars akitafuta namna ya kumtoka beki wa Uganda,Walusimbi Godfrey katika mtanange uliopigwa jioni ya jana ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)