RVP ATAKA KUONGEZA MKATABA WAKE MAN UNITED…ATAKA KUTWAA MAKOMBE MAWILI AU MATATU MSIMU HUU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

RVP ATAKA KUONGEZA MKATABA WAKE MAN UNITED…ATAKA KUTWAA MAKOMBE MAWILI AU MATATU MSIMU HUU

Flying Dutchman: Van Persie (second right) is mobbed after scoring against Crystal Palace on SaturdayMholanzi maarufu: Van Persie (wapili kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kufunga katika mchezo dhidi ya Crystal Palace jumamosi 

Akizungumza na mshindi wa kombe la ulaya wa zamani Paddy Crerand katika mahojiano maalumu ndani ya MUTV, Van Persie ameweka wazi kywa anataka kukaa zaidi Man United.
 
“Nimebakiza miaka mitatu katika mkataba wangu na nataka kukaa zaidi” nyota huyo mwenye umri wa miaka 30 alisema. “Najua na nawaona watu walionizunguka, kufanya maamuzi ambayo watu wataangalia nyuma na kusema “Ni maamuzi mazuri?”. Sihitaji kitu hicho.
“Nahitaji kucheza kwa kiwango cha juu  kwa muda mrefu kadri itakavyowezekana”
Kushinda kombe na United msimu uliopita ndio kichocheo kikubwa kwa Van Persie kupenda kukaa klabuni hapo kwani hajawahi kushinda na Arsenal tangu atwae FA Cup mnamo mwaka 2005.
Champions: Van Persie celebrates winning the Premier League title back in MayMabingwa: Van Persie akishangilia ubingwa mwezi mei mwaka huu
Moving on: Van Persie joined United last summer from ArsenalKazi inaendelea: Van Persie alijiunga na United msimu uliopita akitokea Arsenal 

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
MSHAMBULIAJI wa Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka nchini England, Mashetani Wekundu, Manchester United, Robin van Persie (RVP) anataka uongeza mkataba wake licha ya kubakiwa na miaka mitatu katika mkataba wake wa sasa.

Van Persie alifurahia maisha ya Old Trafford msimu uliopita baada ya kutwaa kiatu cha dhahabu kwa mara ya pili na kuwasaidia Man United kutwaa ubingwa uliokuwa unatetewa na Manchester City.

Hali ilionesha fainda ya Mholanzi huyo kuihama klabu yake ya Arsernal na kujiunga na wapinzani wakubwa wa klabu hiyo yenye makazi yake kaskazini mwa London, Manchester United.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages