DAYNA ASEMA MADAI YA SHEDY KWAMBA YA YEYE ALIKUBALI DEMO YAKE KUTUMIWA NA DIAMOND SI YA KWELI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

DAYNA ASEMA MADAI YA SHEDY KWAMBA YA YEYE ALIKUBALI DEMO YAKE KUTUMIWA NA DIAMOND SI YA KWELI

DAYNA

Msanii wa kizazi kipya Dayna ambaye hivi karibuni kumeibuka malumbano yanayodai Diamond kutumia beats ya wimbo wake wa Naumia alioutengeneza kwa prodyuza Shedy na Prodyuza alipoulizwa alisema Dayna alikubali Beats za wimbo wake zitumiwe na Diamond huku akidai kwamba Dayna alikua hajalipia beats ya wimbo wake na hivyo kuamua kumuuzia Diamond ambaye nae bila kuchelewa ameishatoa wimbo wake wa My number one ambao unatamba sasa hivi kwenye vituo vya radio na vituo vya luninga.

Msanii Dayna alipofanya mahojiano na Vijimambo blog alikua na haya ya kusema Msikilize


hii ni demo ya wimbo wa Dayna ambao unafanana na wimbo wa Diamond My number one USIKILIZE

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages