MWANAFUNZI WA VETA MWENYE MAHITAJI MAALUMU AWA KIVUTIO KATIKA BANDA LA VETA. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MWANAFUNZI WA VETA MWENYE MAHITAJI MAALUMU AWA KIVUTIO KATIKA BANDA LA VETA.

Range Jackson akiambaye  ni mwanafunzi mwenye mahitaji maaalum(Matatizo ya akili katika kujifunza jamii imezoea kuwa ita Tahila) walimu  wa VETA wanakataa kuwaita jina hilo kwa kuwainyesha kuwa wanafundishika ,Pichani akiwaonyesha  askari Polisi waliotembelea katika banda lake kifaa maalumu kinachotumika kumsaidia kumfunza.Kutokana na tatizo lake walimu wa VETA wamelazaimika kumfundisha mtoto na baba yake mzazi Jackson Range ili kumrahishia mafunzo yake kwa sababu baba atakuwa anakmkubushia masomo yake aikiwa nyumbani  kwa sababu mtoto huiga mambo mazuri kutoka kwa wazazi .Katikati ni mwalimu wao Kintu Kilanga.Wananchi mnakaribishwa katika banda la Mafunzo ya Ufundi stadi VETA, mjionee mafunzo mbalimbali yanayotolewa na chuo hicho kwa vijana wetu.
 KAZANA UTAELEWA TUU,Mwalimu waufundi wa kuunga vyuma (Werding)  Kintu Kilanga akimfuatilia mwanafunzi wake  Range Jackson wakati alipokuwa akisaga  chuma alichochomlea katika monesho ya 37 ya biashara ya Kimataifa Dar es Salaam, maarufu kwa jina la Sabasaba.VETA wamekuwa wakitoa elimu juu ya mafunzo wanaoyotoa katika chuo chao.
 Mbunge wa viti maalum  Magret Mkanga akipewa maelezo na Mwalimu wa ufundi wa kuunga vyuma (Werding)  Kintu Kilanga juu ya elimu inayotolewa kwa Range Jackson (kulia) mwanafunzi mwenye mahitaji maaalum(Matatizo ya akili katika kujifunza jamii imezoea kuwa ita Tahila) wakati alipotembelea katika banda la VETA lililopo kwenye maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam.
 Mbunge wa viti maalum  Magret Mkanga akikabidhiwa  jiko na Range Jackson ambaye ni mwanafunzi mwenye mahitaji maalumu  wakati alipotembelea katika banda la VETA, Katikati ni mwalimu wake  Kintu Kilanga akishuhudia, Mafunzo ya Rangae yanakwenda sambamba na baba yake hayupo pichani.
Mke wa Makamu wa Rais Asha Bilal na mke wa Waziri Mkuu Tunu Pinda  wakiangalia moja ya nguo zinazotengenezwa na wanafunzi wa VETA wakati walipotembelea katika Banda hilo jana.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages