MASANJA, SHILOLE WATEMBELEA VOA NA JENGO JEUPE WASHINGTON, DC - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MASANJA, SHILOLE WATEMBELEA VOA NA JENGO JEUPE WASHINGTON, DC

Kutoka kushoto ni Mery Mgawe, Hadija Riyam, Shilole, Sunday Shomari, Dr. Hamza Mwamoyo, Ilham Dirran, Masanja na Raymond Maro katika picha ya pamoja wakati wasanii Shilole n Masanja walipotembelea studio za Voice Of America Idhaa ya Kiswahili Jijini Washington.
Msanii Shilole akifanyiwa mahojiano ya Luninga na mtangazaji wa VOA, Sunday Shomari
Msanii Masanja Mkandamizaji akifanyiwa mahojiano ya Luninga na mtangazaji Sunday Shomari.
Wasanii Shilole na Masanja wakifanyiwa mahojiano ya Radio na mtangazaji wa VOA idhaa ya Kiswahili, Sunday Shomari.
Wasanii Masanja na Shilole wakipata picha nje ya mjengo wa Voice Of America.

Msanii Masanja akipata picha nje ya jengo jeupe (white House), Ikulu ya ya Rais wa Marekani
Msanii Shilole akipata picha nje ya jengo jeupe alipokwenda yeye na Masanja kutembele mjengo huo.
Shilole na Masanja wakiwa nje ya jengo jeupe
Shilole na Masanja katika picha ya pamoja na Mdau Liberatus Mwang'ombe kulia ni watoto waliokua wakipata nao picha za kumbukumbu kutoka kwa wazazi wao (hawapo pichani)
Masanja akiwa katikati ya mktaa wa Pennsylvania, mtaa ulipo jengo jeupe.
Wasanii Masanja na Shilole wakikatiza kitaa cha Pennsylvania

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages