Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman Atembelea Banda la Jeshi la Magereza Sabasaba - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman Atembelea Banda la Jeshi la Magereza Sabasaba

  Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akiondoka  katika Banda la Jeshi la Magereza baada ya kujionea bidhaa mbalimbali zikiwemo samani za majumbani na bidhaa za viwandani kama inavyoonekana katika Picha huku akiwa ameongozana na Maofisa mbalimbali aliofuatana nao
  Mshauri Mwelekezi wa Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha kutengeneza Kofia Ngumu katika Gereza Kuu Ukonga, Bw. Alpherio Nchimbi akimwelezea Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe Mohamed Chande Othman namna Kofia hizo zenye ubora zinavyotengenezwa. Kiwanda cha kutengeneza Kofia ngumu kipo katika hatua za mwisho za kukamilika na Ujenzi wake upo Gereza Kuu Ukonga, Dar es Salaam
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman(wa kwanza kushoto) akiangalia meza yenye viti viwili iliyotengenezwa kwa miti ya Henzerani inayopatikana  Mkoani Kigoma, anayemwelezea Jaji Mkuu ni Kamishna Msaidizi wa Magereza, Alexanda Mmasy.
 Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman akiangalia Sofa seti ambayo imetengenezwa na Wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga kwa kushirikiana na Mafundi wa Jeshi la Magereza. Anayemwelezea ni Kamishna Msaidizi wa Magereza, Alexanda Mmasy.Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages