| Akiwa na furaha baada ya hukumu yake kumalizika leo katika mahakama ya kisutu jijini dar es salaam |
| Akitetra jambo na baadhi ya watu! |
| Akihojiwa na mmoja wa waandishi wa habari! |
| Mhadhiri Maarufu wa Kiisilamu Sheikh Habibu Mazinge (suti nyeusi) akimlaki Sheikh Ponda mara baada ya kuachiliwa huru. |
| Ponda akizungumza na waandishi wa habari. |
| Tutatoa tamko! |
| Kuna mengi yamejitokeza na wale waliokuwa wakiogopa sasa wamepata somo! |
| Safari ikaanza! |
| Akapewa ulinzi tena! |
| Akaingia kwenye gari! |
| Msafara ukavamiwa na wafuasi baada ya dereva wa gari lake kusimamisha awasalimie wafuasi hao jambo ambalo polisi walikuwa hawalitaki na kuzua mabishano mazito kwenye mataa ya Maktaba Square. |
| Wafuasi wakajimwaga barabarani! |
| Takbirrrrrrrrrr!Allahu Akibarrrr! ndio maneno yaliyokuwa yakitamkwa hapo |
| Wafuasi wakivamia gari kumsalimia baada ya dereva wa gari hilo kulisimamisha huku polisi wakimvamia aliondoe gari hilo haraka. |
| Waliufukuza msafara huo hadi pale ulipotokomea! |
| Kaaaazi kwelikweli! |





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)