Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama,
Anna Abdallah akifurahi jambo wakati alipokuwa anakagua na kamati yake
ujenzi wa makao makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linalojengwa Tazara
Mchicha, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani
ya Nchi, Pereira Ame Silima.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame
Silima (aliyevaa tai) akiwa na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ulinzi
na Usalama wakati walipokuwa wanakagua ujenzi wa Makao Makuu ya Jeshi
la Zimamoto na Uokoaji jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame
Silima (kushoto-aliyevaa tai) akiwa na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya
Ulinzi na Usalama wakati walipokuwa wanakagua ujenzi wa Makao Makuu
ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame
Silima akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama
na maofisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakati kamati hiyo ilipofanya
ziara ya ukaguzi wa mipango ya maendeleo ya jeshi hilo, jijini Dar es
Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge
ya Ulinzi na Usalama, Anna Abdallah akizungumza na maofisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Kamati hiyo ilifanya ziara ya ukaguzi wa mipango ya maendeleo ya jeshi
hilo, jijini Dar es Salaam jana. Aliyevaa tai ni Naibu Waziri wa Mambo
ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima. PICHA ZOTE NA KITENGO CHA
MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)