GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE (GFC) KUMEKUCHA HIVI SASA LEADERS CLUB - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE (GFC) KUMEKUCHA HIVI SASA LEADERS CLUB

Baadhi ya vijana waliofika katika mchujo kutafuta timu 5 zitakazo liwakilisha taifa la Tanzania katika mashindano ya Guinness Football Challnge (GFC) nchini Afrika Kusini, ambapo vijana wawili wawili wanaonda timu moja na endapo kama timu hiyo itafanikiwa kushinda kule Afrika Kusini itajinyakulia kitita cha Shilingi Bilioni 1 na Milioni mia nne.
Ali Bin Ali kutoka Mbagala Rangi tatu akijaribu bahati yake kwa kupiga danadana (ball Control) wakati wa Mchujo wa Guinness Football Challenge (GFC) inayoendelea hivi sasa katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam. Ali alifanikiwa kupita katika mchujo huo kwa upande wa uchezaji sijui mshiriki mwenzake aliyepo upande wa maswali.
Nelson Kessy Kigogo Mburahati, akijaribu bahati yake kwa kucheza mpira (ball Control) wakati wa Mchujo wa Guinness Football Challenge (GFC) inayoendelea hivi sasa katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam. Ali alifanikiwa kupita katika mchujo huo kwa upande wa uchezaji sijui mshiriki mwenzake aliyepo upande wa maswali.
 MC wa Mchujo huu Shafii Dauda (kulia) akiwa na baadhi ya washiriki.
Vyombo vinawekwa sawa kwa wale wasio shiriki katika mchezo hapa wanaweza kukata kiu taratibu.
Afidh Mkambala kutoka Temeke Mwembe Radu akijaribu bahati yake kwa kucheza mpira (ball Control) wakati wa Mchujo wa Guinness Football Challenge (GFC) inayoendelea hivi sasa katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam. Ali alifanikiwa kupita katika mchujo huo kwa upande wa uchezaji sijui mshiriki mwenzake aliyepo upande wa maswali.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages