UJENZI WA BARABARA WA MABASI YAENDAYO KASI WAENDELEA KWA KASI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

UJENZI WA BARABARA WA MABASI YAENDAYO KASI WAENDELEA KWA KASI

 Malori ya Mchanga yakitoka kumwaga kifusi cha mchanga katika maeneo ya magomeni usalama kwaajili ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kwa kasi
 Ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kwa kasi ukiendelea kwa kasi kama inavyoonekana kwenye picha
 Mafundi wa wakiendelea na kazi za ujenzi wa barabara wa mabasi yaendayo kasi katika maeneo ya Magomeni Usalama kama wanayoonekana katika picha

 Picha Juu ni Ujenzi wa Daraja linajongwa katika Eneo la Kimara Mwisho katika mradi wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi.
Barabara ya Morogoro katika eneo la kimara linavyooneka kwenye picha huku ujenzi wa barabara hiyo ukiendelea kwa kasi

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages