Dereva wa daladala linalofanya safari zake kati ya Vingunguti na Posta akiwa amesimamisha gari lake katikakati ya barabara inayotoka vingunguti na kupitia Buguruni Kwa Mnyamani Akiwa anapakia abiria Bila wasiwasi wala uoga bila kujali kuwa anasababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara hiyo majira ya asubuhi ambapo wakazi wengi wa Maeneo ya Tabata na Vingunguti hupenda kutumia njia hii ili kukwepa foleni inayokuwepo mara kwa mara katika barabara ya Mandela wakati wakielekea Mjini.Bila aibu wala uoga anapakia katikati ya Barabara.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
MADEREVA WA DALADALA WANAPOJIMILIKISHA BARABARA
MADEREVA WA DALADALA WANAPOJIMILIKISHA BARABARA
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)