Waziri wa Fedha Dkt William Mgimwa akutana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Donald Kaberuka Tokyo-Japan - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Waziri wa Fedha Dkt William Mgimwa akutana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Donald Kaberuka Tokyo-Japan


 Mhe. William Mgimwa Waziri wa Fedha akichangia mada juu ya jinsi gani waafrika wanaweza kujikomboa kwa kupitia Benki ya Maendelea ya Afrika katika hafla ya chakula cha jioni Jijini Tokyo- Japan
 Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Donald Kaberuka  akifurahia jambo  na Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa walipomaliza hafla ya chakula cha jioni Jijini Tokyo- Japan.
 Waziri wa Fedha akiwa na rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Donald Kaberuka katika kikao cha faragha jijini Tokyo –Japan.
 Donald Kaberuka  Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika akimsikiliza kwa makini waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa wakati wa chakula cha Jioni Jijini Tokyo – Japan
 Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa akiwa na Waziri wa Fedha wa Uganda Bi. Maria Kiwanuka wakibadilishana mawazo katika chakula cha jioni kilichoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Jijini Tokyo – Japan.
Wajumbe wa Mkutano huo wakiwa katika chakula cha jioni, wa mwanzo kabisa ni Gavana wa Benki kuu Malawi akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha ya Malawi.Picha na Habari zimeletwa na ingiahedi mduma-Wizara ya Fedha

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages