Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australia Balozi Mbelwa Kairuki akutana na Mwakilishi wa Heshima wa Australia nchini Tanzania - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australia Balozi Mbelwa Kairuki akutana na Mwakilishi wa Heshima wa Australia nchini Tanzania

 Balozi Mbelwa Kairuki (kushoto), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australia, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akimkaribisha Ofisini kwake Bw. Thiery Murcia, Mwakilishi wa Heshima wa Australia hapa nchini alipomtembelea jana
 Balozi Kairuki akiwa katika mazungumzo na Bw. Murcia.
 Balozi Kairuki akimsikiliza kwa makini Bw. Murcia alipokuwa akizungumza nae.
Balozi Kairuki akipitia moja ya nyaraka muhimu alizokabidhiwa na Bw. Murcia wakati wa mazungumzo yao.Picha na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages