Mkutano huo utajumuisha wajumbe
412 kutoka nchi 40 za Africa ambapo asilimia 59 ya wajumbe hao wanatoka
Tanzania na asilimi 41 ya wajumbe wanatoka nchi nyingine za Africa mgeni
rasmi katika mkutano huo anatarajiwa kuwa makamu wa Rais wa jamuhuri wa
muungano wa Tanzania Mh. Dr Mohamed Ghalib Bilal.wadau na watanzania
kwa ujumla wametakiwa kwenda kuunyesha mali asili zao wanazotengeneza
ili kujipatia soko na kujitangaza kupitia mkutano huo
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)