RPC Mwanza auawa kwa Kupigwa Risasi na Majambazi - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

RPC Mwanza auawa kwa Kupigwa Risasi na Majambazi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi usiku wa kuamkia leo katika maeneo ya Kitangiri jijini Mwanza.

Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Said Mwema amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema timu ya Makachero kutoka Dar ikiongozwa na Mkurugenzi wa Upepelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba inakwenda jijini humo kuongeza nguvu ya kiupelelezi na taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
R.I.P KAMANDA LIBERATUS BARLOW 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages