Lori la mafuta lateketea kwa moto muda mfupi uliopita katikati ya Eneo la Mlandizi na Chalinze Mpaka sasa Sababu za lori hilo kuwaka moto hazijajulikana na Hakuna aliyeripoti kufa wala kujeruhiwa mpaka sasa. Tutazidi kuwajuza kadri taarifa zinavyotufikia kutoka kwa Ripota wetu aliyepo eneo hilo
-






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)