AKUTWA AMEJINYONGA CHUMBANI KWAKE SINZA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

AKUTWA AMEJINYONGA CHUMBANI KWAKE SINZA

Picha ya marehemu Kassim enzi za uhai wake

 Mwili wa marehemu Kassim Athuman ukiwa umening’inia baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani chumbani kwake jana, tukio hili limetokea kwenye mtaa wa Sinza ‘E’, kata ya Sinza Wilaya ya Kinondoni amekutwa amejinyonga chumbani kwake mapema jioni ya jana.
 Shaban Athuman ambaye ni kaka wa marehemu akitoa maelezo kwa afisa polisi aliyefika kuchukua mwili wa marehemu kwa uchunguzi zaidi
ni kilio na majonzi kwa ndugu jamaa na marafiki.Chanzo: BlogszaMikoa

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages