RAIS WA IBF AZITEMBELEA OFISI ZA DHL DAR-ES-SALAAM - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

RAIS WA IBF AZITEMBELEA OFISI ZA DHL DAR-ES-SALAAM

Kampuni ya kusafirisha vifurushi ya DHL inatoa punguzo kwa kusafirisha vifurushi katika promosheni yake inayoendelea sasa!

Hayo yalibainishwa wakati Rais wa IBF Afrika, Masharikiu ya Kati, Ghuba ya Uarabu na Uajemi Onesmo Alfred McBride Ngowi alipotembelea ofisi zao leo katuka jingo la Peugeot . jijini Dar-Es-Salaam na kupiga picha na wafanyakazi wa DHL. 

Ngowi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Baraza la Ngumi la Jumuiya ya Madola (CBC), Rais wa Shirikisho la Ngumi la Afrika ya Mashariki na Kati (ECAPBA) na Rais wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC) alifurahiswa sana na huduma wanazotoa DHL na kuwahimiza wafanyakazi wake waendelee na kutoa huduma hizo nzuri! 

Pichani Ngowi mwenye miwani akiwa amesimama na wafanyakazi wa DHL! 
Imetolewa na
Uongozi
IBF Africa, mashariki ya kati na Guba ya Uarabu na Uajemi

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages