Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Zakia
Bilal wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa kilele cha
maadhimisho ya Miaka50 ya Uhuru wa Uganda kwenye Uwanja wa Kololo,
jijini Kampala jana. Wengine kutoka kushoto ni Rais wa Somalia Hassan
Shekhe Mahamoud na Makamu Rais wa Sudan, Bwana Haji Adam Yusufu.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)