Taarifa zilizotufikia hivi punde kwenye meza yetu ya habari kutoka kwa ripota wetu mjini Zanzibar Eneo la Darajani zinasema kuwa hivi sasa Zanzibar kuna
vurugu Kubwa wana uhamsho wanamtafuta Kiongozi wao aliyetekwa Jana
usiku. Kwa hiyo Eneo la Darajani hapakaliki. Tutazidi Kuwajuza kadri ripota wetu anavyotupa taarifa
Stay turned @ Lukaza Blog





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)