UPDATE KUTOKA ZANZIBAR: OFISI YA CCM YACHOMWA MOTO KUTOKANA NA VURUGU ZINAZOENDELEA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

UPDATE KUTOKA ZANZIBAR: OFISI YA CCM YACHOMWA MOTO KUTOKANA NA VURUGU ZINAZOENDELEA

 Moja ya Ofisi ya CCM Zanzibar Ikiteketea kwa Moto Muda huu Huko Zanzibar katika Vurugu zinazoendelea

Taarifa zinazozidi kutufikia tena hivi punde kutoka zanzibar ni kwamba ofisi ya Chama Cha Mapinduzi imechowa moto na kwa kiasi kikubwa imeungua na hakuna aliyeripotiwa kuumia wala kupoteza maisha katika vurugu zinazoendelea sahivi huko zanzibar.

Stay turned @ Lukaza Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages