Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa
akizungumza na Waandishi wa Habari [Pichani hawapo]kuhusu Mkutano wa
Mawaziri wa Mazingira wa Nchi za Afrika, Mkutano huu ni Kutathimini
utekelezaji wa Makubaliano ya Mkutano wa 13 Uliofanyika Banako, Mali
Mkutano Unafanyika Nchini Tanzania Mjini Arusha kulia Mkurugenzi wa
Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Julias Ningu.Picha na Ali Meja
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)