TASWIRA ZA Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbrod Slaa alipotoa pole kwa familia ya marehemu Mwangosi Hapo Jana Kabla ya Mazishi - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TASWIRA ZA Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbrod Slaa alipotoa pole kwa familia ya marehemu Mwangosi Hapo Jana Kabla ya Mazishi

Mjane wa Daud Mwangosi, ameacha mjane na watoto wanne.
 Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk Wilbrod Slaa Akiwasili
Katibu Mkuu wa CHADEMA  Dr. Wilbrod Slaa alipofika kwenye msiba wa familia ya hayati Daud Mwangosi kuwapo pole.
Mtoto wa hayati Daud Mwangosi akimsalimia Katibu Mkuu wa CHADEMA,Dr. Slaa kwa uchungu alipofika kuwapa pole. Anayeangalia kulia ni Mzee Arcado Ntagazwa.Picha Zote na Mdau Maggid Mjengwa

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages